Kikele (Kongo)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kikele ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Wakele. Mwaka wa 1980 idadi ya wasemaji wa Kikele imehesabiwa kuwa watu 160,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kikele iko katika kundi la C60.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikele (Kongo) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.