Kikanuri-Bilma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kikanuri-Bilma ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Niger inayozungumzwa na Wakanuri. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kibilma imehesabiwa kuwa watu 20,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibilma iko katika kundi la Kisahara.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikanuri-Bilma kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.