Kiikoma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiikoma (pamoja na lahaja za Kinata na Kiisenye) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Waikoma. Mwaka wa 2005 idadi ya wasemaji wa Kiikizu-Nata-Isenye imehesabiwa kuwa watu 36,000, yaani Waikoma 15,000, Wanata 11,500 na Waisenye 9,500. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiikoma-Nata-Isenye iko katika kundi la E40.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Mekacha, Rugatiri D. K. 1993. The sociolinguistic impact of Kiswahili on ethnic community languages in Tanzania: a case study of Ekinata. (Bayreuth African studies series.) Bayreuth University. Kurasa 237. [ISBN 3-927510-25-4]
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiikoma kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.