Kigoma (mji)
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Kigoma | |
| Mahali pa Kigoma katika Tanzania | |
| Anwani ya kijiografia: 4°52′48″S 29°36′36″E / 4.88°S 29.61°E | |
| Nchi | Tanzania |
|---|---|
| Mkoa | Kigoma |
| Wilaya | Kigoma Mjini |
| Idadi ya wakazi (2002) | |
| - Mji | 144,852 |
Kigoma ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kigoma. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 144,852 [1].
Marejeo [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kigoma bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kigoma (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |