Kigoemai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kigoemai (pia Kiankwe) ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Nigeria inayozungumzwa na Wagoemai. Lugha ya Kigoemai huandikwa na alfabeti ya Kilatini. Mwaka wa 1995 idadi ya wasemaji wa Kigoemai imehesabiwa kuwa watu 200,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigoemai iko katika kundi la Kichadiki.

Sarufi[hariri | hariri chanzo]

Lugha ya Kigoemai kwa jumla ni lugha tenganishi, na mpangilio maneno ni kiima-kitenzi-yambwa.

Matumizi[hariri | hariri chanzo]

Kigoemai hutumika katika programu za redio.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kigoemai kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.