Kighare

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kighare ni kata ya Wilaya ya Mwanga katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania.

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2022, kata ilikuwa na wakazi wapatao 5,155 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,254 [2] walioishi humo.

Kata ya Kighare ina vijiji vinne ambavyo ni: Ndanda, Kighare, Kilaweni na Kirongaya.

Makao makuu ya kata yapo Stoo Mombasa.

Hospitali ya Wilaya ya Mwanga ipo katika kata ya Kighare.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. Sensa ya 2012, Kilimanjaro - Mwanga DC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2016-05-27.
Kata za Wilaya ya Mwanga - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania

Chomvu | Jipe | Kifula | Kighare | Kigonigoni | Kileo | Kilomeni | Kirongwe | Kirya | Kivisini | Kwakoa | Lang'ata | Lembeni | Mgagao | Msangeni | Mwanga | Mwaniko | Ngujini | Shighatini | Toloha

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kighare kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Isipokuwa usitaje majina ya viongozi waliopo sasa maana wanabadilika haraka mno.