Kifali-Kusini
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifali-Kusini ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Kamerun inayozungumzwa na Wafali. Mwaka wa 1982 idadi ya wasemaji wa Kifali-Kusini imehesabiwa kuwa watu 20,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kifali-Kusini kiko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.
[hariri] Viungo vya nje
- lugha ya Kifali-Kusini kwenye Multitree
- ramani ya Kifali-Kusini
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=fal
| Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kifali-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |