Kifali-Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kifali-Kaskazini (lugha))

Kifali-Kaskazini ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Kamerun inayozungumzwa na Wafali. Mwaka wa 1982 idadi ya wasemaji wa Kifali-Kaskazini imehesabiwa kuwa watu 16,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kifali-Kaskazini iko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kifali-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.