Kienwan-Oron

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kienwan-Oron ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Waenwan-Oron. Mwaka wa 1998 idadi ya wasemaji wa Kienwan-Oron imehesabiwa kuwa watu 15,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kienwan-Oron iko katika kundi la Cross River.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kienwan-Oron kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.