Kiede-Cabe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiede-Cabe ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Benin inayozungumzwa na Waede. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kiede-Cabe imehesabiwa kuwa watu 80,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiede-Cabe iko katika kundi la Kiyoruboidi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiede-Cabe kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.