Kiduke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiduke ni lugha ya Kiaustronesia nchini Visiwa vya Solomon inayozungumzwa na Waduke kwenye kisiwa cha Kolombangara. Mwaka wa 1999 idadi ya wasemaji wa Kiduke imehesabiwa kuwa watu 2310. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiduke iko katika kundi la Kioseaniki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiduke kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.