Kidibo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kidibo ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wadibo. Mwaka wa 1992 idadi ya wasemaji wa Kidibo imehesabiwa kuwa watu 100,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kidibo iko katika kundi la Kinupoidi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kidibo kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.