Kicinda-Regi-Tiyal
Kicinda-Regi-Tiyal (pia huitwa Kikamuku) ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wacinda, Waregi na Watiyal. Mwaka wa 1995 idadi ya wasemaji wa Kicinda-Regi-Tiyal imehesabiwa kuwa watu 95,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kicinda-Regi-Tiyal iko katika kundi la Kikainji.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- lugha ya Kicinda kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kicinda Archived 5 Februari 2017 at the Wayback Machine.
- lugha ya Kicinda katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/cdr
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kicinda-Regi-Tiyal kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |