Kibondo (mji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kibondo)

Kwa maana nyingine ya jina hili angalia Kibondo (maana)


Kibondo
Kibondo is located in Tanzania
Kibondo
Kibondo

Mahali pa Kibondo katika Tanzania

Majiranukta: 3°35′2″S 30°43′5″E / 3.58389°S 30.71806°E / -3.58389; 30.71806
Nchi Tanzania
Mkoa Kigoma
Wilaya Kibondo
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 27,200
Chuo cha Uuguzi Kibondo

Kibondo ni mji mdogo na makao makuu ya wilaya ya Kibondo katika Mkoa wa Kigoma, Tanzania. Mji uko kilomita 270 kaskazini kwa Kigoma, karibu na mpaka wa Burundi.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 10,268 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 39,300 waishio humo.[2]

Wenyeji wa Kibondo ni hasa Waha.

Mwaka 1993 wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Burundi wakimbizi wengi walifika Kibondo na kambi tatu zilijengwa kando ya mji wa Kibondo. Kambi hizo zilikuwa na Warundi zaidi ya 25,000 waliokuwa zaidi ya robo ya wakimbizi wote kutoka Burundi nchini Tanzania. Kambi hizo ni Nduta, Kanembwa na Mtendeli. Zililongeza kasi ya biashara mjini lakini pia zilisababisha matatizo mbalimbali, hasa ya kiusalama na ya kimazingira.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kibondo - Mkoa wa Kigoma - Tanzania

Bitare | Biturana | Bunyanbo | Busagara | Busunzu | Itaba | Kagezi | Kibondo Mjini | Kitahana | Kizazi | Kumsenga | Kumwambu | Mabamba | Misezero | Mukabuye | Murungu | Nyaruyoba | Rugongwe | Rusohoko

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kigoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kibondo (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.