Kibondei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kibondei ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wabondei. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kibondei imehesabiwa kuwa watu 50,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kibondei iko katika kundi la G20.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Meinhof, Carl. 1906. Linguistische Studien in Ostafrika, VIII: Bondei. Mitteilungen des Seminars für orientalische Sprachen, 9 (III. Abt.), uk 278-284.
  • Sangai, G. R. Williams. 1963. Dictionary of native plant names in the Bondei, Shambaa and Zigua languages, with their English and botanical equivalents. Cyclostyled. Nairobi: East African Herbarium. Kurasa 132.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibondei kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.