Kibete-Guiberoua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kibete-Guiberoua ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Cote d'Ivoire inayozungumzwa na Wabété. Isichanganywe na Kibete ya Nigeria. Mwaka wa 1993 idadi ya wasemaji wa Kibete-Guiberoua imehesabiwa kuwa watu 130,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibete-Guiberoua iko katika kundi la Kikru.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibete-Guiberoua kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.