Kibelanda-Viri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kibelanda-Viri ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Sudan Kusini inayozungumzwa na Wabelanda. Mwaka wa 1971 idadi ya wasemaji wa Kibelanda-Viri imehesabiwa kuwa watu 16,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibelanda-Viri iko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibelanda-Viri kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.