Kibangi-Me

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kibangi-Me ni lugha nchini Mali inayozungumzwa na Wadogon. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kibangi-Me imehesabiwa kuwa watu 2000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibangi-Me hakifanani na lugha nyingine kwa hiyo haiwezekani kusema iko katika kundi au familia gani ya lugha.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibangi-Me kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.