Kiaghem

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kiaghem (lugha))

Kiaghem ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Kamerun inayozungumzwa na Waaghem. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kiaghem imehesabiwa kuwa watu 26,700. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiaghem iko katika kundi la Grassfields ambalo linafanana na lugha za Kibantu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiaghem kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.