Kanisa Katoliki la Armenia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
StPetersBasilicaEarlyMorning.jpg
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria


Muundo

Papa: Benedikto XVI
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Milano Toledo Braga Lyon)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Headquarters of the Armenian Catholic Patriarchate in Bzoummar, Lebanon

Kanisa Katoliki la Armenia (kwa Kiarmenia Հայ Կաթողիկէ Եկեղեցի Hay Kat’oġikē Ekeġec’i) ni madhehebu ya Kanisa Katoliki yanayofuata mapokeo ya Kanisa la Armenia katika ushirika kamili na Papa wa Roma.

Ushirika huo ulidhoofika baada ya Mtaguso wa Kalsedonia (451), hasa kutokana na ugumu wa mawasiliano. Lakini haukuisha kabisa, na kwa nyakati mbalimbali uliweza kuimarishwa tena, hasa kuanzia 1195.

Mkuu wake anaitwa Patriarki wa Cilicia wa Waarmenia na kwa sasa ni Nerses Bedros XIX Tarmouni.

Makao makuu huko Bzoummar (Lebanoni, lakini waamini wengi wanaishi Armenia na katika nchi ya kandokando. Wengine wanaishi sehemu nyingi duniani. Jumla wako 539,806 (2008).

[hariri] Picha

[hariri] Viungo vya nje

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine