Kambarage

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kambarage ni jina lenye asili katika lugha ya Kizanaki kutoka Mkoa wa Mara katika Tanzania Kaskazini-Magharibi. Maana ya jina ni kutaja roho inayoleta mvua,[1]

Imejulikana hasa kutokana na Julius Kambarage Nyerere, mwanasiasa aliyeongoza Tanganyika kufikia uhuru baada ya ukoloni na kuwa rais wa kwanza wa Tanzania.

Jina linatumika kutaja kata za:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Kambarage, the name he was given at birth, means "the spirit which gives rain" in Zanaki because the day he was born a very heavy rain fell." Makala "Nyerere" katika Dictionary of African Christian Biography Archived 6 Septemba 2015 at the Wayback Machine.
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.