Galba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kaisari Galba)
Shaba inayoonyesha Kaizari Galba

Servius Suplicius Galba (24 Desemba 3 KK15 Januari 69) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 8 Juni 68 hadi kifo chake. Alimfuata Nero.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Galba kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.