Kamusi ya manaa na matumizi
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka KMM)
KMM ni kifupi cha "Kamusi ya manaa na matumizi" iliyotungwa na professa Salim K. Bakhressa wa chuo kikuu cha Nairobi mwaka 1992.
Kamusi hii inakusanya maneno ya Kiswahili cha kisasa na kuyaeleza katika lugha ya Kiswahili yenyewe.
Inafuata muundo ufuatao:
- kwanza kamusi inataja maana mbalimbali ya kila neno
- pili inataja kila maana katika sentensi ya mfano
Marejeo [hariri]
- Bakhressa, Salim K. Kamusi ya manaa na matumizi. Nairobi, Kenya: Oxford University Press, 1992