Jostein Gaarder

Kutoka Wikipedia

Jostein Gaarder (amezaliwa 8 Agosti, 1952) ni mwandishi kutoka nchi ya Norwei. Alisoma falsafa, teolojia na masomo ya fasihi chuoni na kuwa mwalimu wa falsafa kabla hajajitegemea kama mwandishi. Ameandika hasa kwa watoto. Baadhi ya vitabu vyake ni:

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jostein Gaarder" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jostein Gaarder kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi