Jorge Luis Borges

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jorge Luis Borges (24 Agosti 1899 - 14 Juni 1986) alikuwa mwandishi wa fasihi kutoka nchi ya Argentina. Wataalamu wengi wa fasihi wanaamini kuwa Borges alikuwa mojawapo wa waandishi mashuhuri sana katika karne iliyopita. Borges hasa alijulikana kwa kutunga hadithi fupi za kubuniwa zilizoangazia maswala magumu kama vile "Wakati, Uwanda na Vioo" (kwa Kiingereza, Time, space and mirrors).

Mifano ya hadithi fupi alizoziandika ni kama "Shamba Panda" ambayo kwa Kiingereza ni The Garden of forking paths, na "Maktaba ya Babeli", au kwa Kiingereza, The Library of Babel.

[hariri] Viungo vya nje


Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Jorge Luis Borges" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jorge Luis Borges kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi