John Malecela
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
John Samuel Malecela (amezaliwa 1934) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Baadhi ya kazi mbalimbali ya kisiasa, alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje (1972-73) na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (1980-84). Kuanzia tarehe 9 Novemba 1990 hadi tarehe 7 Desemba 1994 alikuwa Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania.
Viungo vya nje [hariri]
| Ofisi za Kisiasa | ||
|---|---|---|
| Alitanguliwa na Joseph Sinde Warioba |
Waziri Mkuu wa Tanzania 1990-1994 |
Akafuatiwa na Cleopa David Msuya |
| Alitanguliwa na Salim Ahmed Salim |
Makamu wa Rais wa Tanzania 1990-1994 |
Akafuatiwa na Cleopa David Msuya |
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu John Malecela kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |