John Malecela

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

John Samuel Malecela (amezaliwa 1934) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania. Baadhi ya kazi mbalimbali ya kisiasa, alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje (1972-73) na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (1980-84). Kuanzia tarehe 9 Novemba 1990 hadi tarehe 7 Desemba 1994 alikuwa Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania.

Viungo vya nje [hariri]

Ofisi za Kisiasa
Alitanguliwa na
Joseph Sinde Warioba
Waziri Mkuu wa Tanzania
1990-1994
Akafuatiwa na
Cleopa David Msuya
Alitanguliwa na
Salim Ahmed Salim
Makamu wa Rais wa Tanzania
1990-1994
Akafuatiwa na
Cleopa David Msuya


Administradors.gif Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Malecela kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.