John Galsworthy
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
John Galsworthy (14 Agosti, 1867 – 31 Januari, 1933) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Aliandika hasa riwaya, tamthiliya na insha. Mwaka wa 1932 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

