Yohane Kasiano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka John Cassian)
Yohane Kasiano.

Yohane Kasiano (Scythia Minor, leo Dobruja, Bulgaria, 360 hivi[1] - Marseille, Ufaransa 435 hivi) alikuwa mmonaki padri na mwanateolojia aliyeathiri sana Ukristo, hasa kwa njia ya vitabu vyake "Miundo ya Kimonaki" "Maongezi ya Mababu", anapoeleza aliyofundishwa na wamonaki wa nchi mbalimbali kuhusu maisha ya kiroho[2].

Pia alianzisha monasteri mbili, ya kiume na ya kike.

Anaheshimiwa kama mtakatifu na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waanglikana.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 23 Julai[3] au tarehe 29 Februari (tarehe 28 katika miaka mifupi).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Lake, Stephen. "Knowledge of the Writings of John Cassian in Early Anglo-Saxon England." Anglo-Saxon England 32 (2003): pp 27–41.
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/91667
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Chadwick, Owen. John Cassian, Cambridge University Press, 1950.
  • Stewart, Columba. Cassian the Monk, New York: Oxford University Press, 1998.
  • Rousseau, Philip. "Cassian." In Simon Hornblower and Antony Spawforth, eds. The Oxford Classical Dictionary. Oxford: Oxford UP, 2003. 298.
  • Harper, James. "John Cassian and Sulpicius Severus," Church History vol. 34 (1965):371-380.
  • Brown, Peter. The Rise of Western Christendom : Triumph and Diversity, A.D. 200-1000. Oxford: Blackwell Publishing, 2003. pp. 111
  • Encyclopedia of Religion. ed. Lindsay Jones. Vol. 3. 2nd ed. Detroit: Macmillan Reference USA, 2005. pp. 1447–1448.
  • New Catholic Encyclopedia. vol. 3. 2nd ed. Detroit:Gale, 2003. pp. 205–207

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.