Jimbo la Uchaguzi la Nyando
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyando ni Jimbo la Uchaguzi nchini Kenya. NI moja kati ya Majimbo matatu ya Wilaya ya Nyando iliyoko mkoani Nyanza.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Jimbo hili lilianzisha wakati wa uchaguzi mkuu wa 1963 lakini kwa uchaguzi uliofuatia mnamo 1966 jimbo hili liligawanwa na kuunda jimbo ipya la Nyakach, huku sehemu za Jimbo la Winam zikishirikishwa katika Jimbo hili la Nyando[1].
Wabunge [hariri]
| Uchaguzi | Mbunge [2] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1963 | Okuto Bala | KANU | |
| 1966 | Okuto Bala | KANU | |
| 1969 | T. O. Ogada | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1974 | Matthew C. Onyango Midika | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1979 | Matthew C. Onyango Midika | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1983 | T. O. Ogada | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1988 | James Miruka Owuor | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1992 | Clarkson Otieno Karan | Ford-K | |
| 1997 | Paul Orwa Otita | NDP | |
| 2002 | Eric Opon Nyamunga | NARC | |
| 2007 | Frederick Outa Otieno | ODM |
Wodi [hariri]
| Wodi | ||
| Wodi | Wapiga Kura waliojiandikisha |
Serikali ya Mtaa |
|---|---|---|
| Kakola | 6,441 | Ahero (mji) |
| Kochogo | 3,510 | Ahero (mji) |
| Kombura / Katho | 4,873 | Ahero (mji) |
| Onjiko / Wawidhi | 6,697 | Ahero (mji) |
| Awasi | 5,844 | Nyando County |
| Bwanda / Kanyagwal | 3,111 | Nyando County |
| Kawino | 5,044 | Nyando County |
| Kikolo (East Kano) | 2,722 | Nyando County |
| Kochieng' | 6,441 | Nyando County |
| Jumla | 44,683 | |
| *Septemba 2005 [3]. | ||
Tazama Pia [hariri]
- Maeneo bunge ya Kenya
- Jombo la Uchaguzi la Nyakach
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007
Virejeleo [hariri]
- ↑ Nyando Constituency: About Nyando Constituency
- ↑ Center for Multiparty Democracy: 20Kenya.pdf Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
Viungo vya Nje [hariri]