Jimbo la Uchaguzi la Nyakach
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyakach ni Jimbo la uchaguzi la Kenya linalopatikana katika Wilaya ya Nyando. Jimbo hili lina Wadi tisa, zote zikiwatuma madiwani katika Baraza la mtaa Nyando County.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Jombo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1966, wakati lilitawanywa kutoka Jimbo la Uchaguzi la Nyando [1].
Wabunge [hariri]
| Uchaguzi | Mbunge [2] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1966 | M. Ondieki -Chillo | KANU | |
| 1969 | James Dennis Akumu | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1974 | Samson Odoyo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1979 | Ojwang K’Ombudo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1983 | Ojwang K’Ombudo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1988 | Ojwang K’Ombudo | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1992 | James Dennis Akumu | Ford-K | |
| 1997 | Peter Ochieng Odoyo | NDP | |
| 2002 | Peter Ochieng Odoyo | NARC | |
| 2007 | Pollyins Ochieng Anyango | ODM |
Wodi [hariri]
| Wodi | |
| Wodi | Wapigakura Waliojiandikisha |
|---|---|
| Central Nyakach / Nyalunya | 5,031 |
| East Nyakach | 2,270 |
| North East Nyakach | 4,749 |
| North Nyakach / Rang'ul | 4,079 |
| Pap Onditi | 5,377 |
| Sigoti | 3,789 |
| South Nyakach | 5,776 |
| South West Nyakach | 5,850 |
| Thurdibuoro / West Nyakach | 8,764 |
| Jumla | 45,685 |
| *Septemba 2005 [3]. | |
Tazama Pia [hariri]
- Pollyins Ochieng Anyango
- Maeneo bunge ya Kenya
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007
- Jimbo la Uchaguzi la Nyando
Virejeleo [hariri]
- ↑ Nyando Constituency: About Nyando Constituency
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
Viungo vya Nje [hariri]