Jimbo la Uchaguzi la Matuga
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Matuga ni Jimbo la Uchaguzi nchini Kenya. Linapatikana katika Mkoa wa Pwani na ni moja kati ya majimbo matatu ya uchaguzi katika Wilaya ya Kwale.
Yaliyomo |
Historia[hariri]
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzimkuu wa 1988.
Wabunge[hariri]
| Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1988 | Boy Juma Boy | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1992 | Boy Juma Boy | KANU | |
| 1997 | Suleiman Mwarunga Kamolleh | KANU | |
| 2002 | Chirau Ali Mwakwere | NARC | |
| 2007 | Chirau Ali Mwakwere | PNU |
Kata na Wodi[hariri]
| Kata | |
| Kata | Idadi ya Watu* |
|---|---|
| Golini | 12,166 |
| Lukore | 3,150 |
| Majimbo | 7,348 |
| Mangawani | 8,947 |
| Mbuguni | 5,130 |
| Mkongani | 15,734 |
| Mwaluphamba | 19,924 |
| Mwaluvanga | 3,401 |
| Ngombeni | 18,773 |
| Shimba Hills Nat. Res. | 162 |
| Tiwi | 19,178 |
| Tsimba | 12,863 |
| Waa | 18,714 |
| Jumla | x |
| *Hesabu ya 1999 [2]. | |
| Wards | ||
| Wodi | Wapiga Kura Waliojisajili |
Baraza la Mtaa |
|---|---|---|
| Golini/Vyongwani | 1,448 | Kwale (Mji) |
| Kubo South | 5,396 | Kwale county |
| Kwale | 2,347 | Kwale (Mji) |
| Mazumalume | 1,430 | Kwale (Mji) |
| Mbuguni / Ng'ombeni | 5,075 | Kwale county |
| Mkongani / Mangawani | 6,247 | Kwale county |
| Mwaluphamba | 5,755 | Kwale county |
| Mwamgunga | 1,051 | Kwale (Mji) |
| Tiwi | 6,485 | Kwale county |
| Vuga | 1,545 | Kwale (Mji) |
| Waa | 5,383 | Kwale county |
| Ziwani | 902 | Kwale (Mji) |
| Jumla | 43,064 | |
| *Septemba 2005 [3]. | ||
Tazama Pia[hariri]
- Maeneo bunge ya Kenya
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007
Virejeleo[hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ information.go.ke: CDF allocation by sector and location (2003-6)
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
Viungo vya Nje[hariri]