Jimbo la Uchaguzi la Kwanza
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo la Uchaguzi la Kwanza ni Mojawapo ya Majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. NI moja kati ya Majimbo matatu katika Wilaya ya Trans-Nzoia. Jimbo hili lina wodi saba, kila moja ikichagua madiwani kwa baraza la Nzoia County.
| Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Yaliyomo |
Historia [hariri]
JImbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.
Wabunge [hariri]
| Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1988 | Noah Wekesa | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1992 | George Kapten | Ford-K | |
| 1997 | George Kapten | Ford-K | Kapten aliaga dunia mnamo Desemba 1999, ikipelekea Uchaguzi Mdogo [2] |
| 2000 | Noah Wekesa | Ford-K | |
| 2002 | Noah Wekesa | NARC | |
| 2007 | Noah Wekesa | PNU |
Wodi [hariri]
| Wodi | |
| Wodi | Wapiga Kura waliojiandikisha |
|---|---|
| Chepchoina | 8,871 |
| Endebess | 8,610 |
| Kaibei | 7,346 |
| Kaisagat | 7,123 |
| Kapomboi | 11,944 |
| Kapsitwet | 6,791 |
| Kwanza | 9,336 |
| Total | 60,021 |
| *Septemba 2005 [3]. | |
Tazama Pia [hariri]
- Maeneo bunge ya Kenya
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002
Virejeleo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Daily Nation, 17 Aprili 2000: Kanu loss in by-election more than a triumph for opposition party
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency