Jimbo la Uchaguzi la Kitui ya Kati
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Jimbo la Uchaguzi la Kitui ya Kati ni mojawapo ya Majimbo 210 ya uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya Majimbo manne ya Wilaya ya Kitui mkoani Mashariki.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1963, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Eliud Ngala Mwendwa.
Wabunge [hariri]
| Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1963 | Eliud Ngala Mwendwa | KANU | |
| 1969 | Eliud Ngala Mwendwa | KANU | Mfumo wa chama Kimoja |
| 1974 | Daniel Musyoka Mutinda | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1976 | Daniel Musyoka Mutinda | KANU | Uchaguzi mdogo |
| 1979 | Titus Mbathi | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1983 | John Mutinda | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1988 | George Ndotto | KANU | Mfumo wa Chama Kimoja |
| 1992 | Charity Ngilu | DP | |
| 1997 | Charity Ngilu | SDP | |
| 2002 | Charity Ngilu | NARC | |
| 2007 | Charity Ngilu | NARC |
Wodi [hariri]
| Wodi | ||
| Wodi | Wapiga Kura Waliojiandikisha |
Baraza la Utawala wa Mitaa |
|---|---|---|
| Itoleka / Katulani | 5,140 | Munisipali ya Kitui |
| Kisasi / Mbitini / Mbusyani | 14,025 | Kitui county |
| Kitui township / Kaveta | 8,874 | Munisipali ya Kitui |
| Kyangwithya East | 11,288 | Munisipali ya Kitui |
| Kyangwithya West | 8,200 | Munisipali ya Kitui |
| Maliku | 4,738 | Kitui county |
| Miambani | 5,196 | Kitui county |
| Mulango | 6,504 | Munisipali ya Kitui |
| Jumla | 63,965 | |
| *Septemba 2005 [2]. | ||
Tazama Pia [hariri]
- Maeneo bunge ya Kenya
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1992
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007
Virejeleo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency