Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Mjini Mashariki
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Mjini Mashariki ni mojawapo ya Majimbo 210 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili liinapatikana katika Wilaya ya Kisumu mkoani Nyanza, miongoni mwa majimbo matatu katika wilaya hiyo. Lina wodi sita, zote zikichagua madiwani kwa baraza la munisipali ya Kisumu.
| Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Jimbo hili lilibuniwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1997 kutikana na kutawanywa kwa jimbo kubwa la Kisumu Mjini kuwa Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Mjini Mashariki na Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Mjini Magharibi.
Wabunge [hariri]
| Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1997 | Gor Sunguh | NDP | |
| 2002 | Gor Sunguh | NARC | |
| 2007 | Ahmed Shakeel Shabbir Ahmed | ODM |
Wodi [hariri]
| Wodi | |
| Wodi | Wapiga Kura Waliojisajili |
|---|---|
| Central Kolwa | 5,831 |
| East Kajulu | 4,357 |
| East Kolwa | 6,158 |
| Manyatta | 14,520 |
| Nyalenda | 8,228 |
| West Kajulu | 4,869 |
| Jumla | 43,963 |
| *Septemba 2005 [2]. | |
Tazama Pia [hariri]
Virejeleo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency