Eneo bunge la Imenti ya Kati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Imenti ya Kati ni moja kati ya Majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Meru. Lina wodi nane, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la utawala wa mitaa la Meru Central County.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilibuniwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Kirugi Laiboni M’Mukindia KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Kirugi Laiboni M’Mukindia KANU
1997 Gitobu Imanyara Ford-K
2002 Kirugi Laiboni M’Mukindia NARC
2007 Gitobu Imanyara CCU

Wodi[hariri | hariri chanzo]

Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojiandikisha
Gatimbi 8,926
Kariene 7,893
Katheri 9,835
Kiagu 7,164
Kibaranyaki 5,338
Kibirichia 12,485
Kithirune 5,973
Mwangathia 10,615
Jumla 68,229
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]