Jimbo la Uchaguzi la Gatundu Kusini
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Jimbo la Uchaguzi la Gatundu Kusini ni mojawapo ya Majimbo 210 ya Kenya. Jimbo hili ni moja kati ya Majimbo manne katika Wilaya ya Thika mkoani Kati mwa nchi ya Kenya. Lina wodi nne zote zikiwemo chini ya Baraza la Thika County.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi wa 1997. Awali lilikuwa sehemu ya jimbo kuu la Gatundu.
Wabunge [hariri]
Mbunge wa sasa wa Jimbo la Gatundu Kusini ni Uhuru Kenyatta, Mwanasiasa maarufu wa Kenya na mwana wa Rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta.
| Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1997 | Moses Mwihia | SDP | |
| 2002 | Uhuru Kenyatta | KANU | |
| 2007 | Uhuru Kenyatta | KANU |
Kata na Wodi [hariri]
| Kata | |
| Kata | Idadi ya Watu* |
|---|---|
| Kiamwangi | 23,630 |
| Kiganjo | 28,502 |
| Ndaragu | 21,554 |
| Ng'enda | 46,562 |
| Jumla | x |
| *Hesabu ya 1999 [2]. | |
| Wodi | |
| Wodi | Wapiga Kura waliojisajili |
|---|---|
| Kiamwangi | 11,333 |
| Kiganjo | 12,698 |
| Ndaragu | 9,459 |
| Ng'enda | 23,154 |
| Jumla | 56,644 |
| *Septemba 2005 [3]. | |
Tazama Pia [hariri]
- Maeneo bunge ya Kenya
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007
Virejeleo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ information.go.ke: CDF allocation by sector and location (2003-6)
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency
Viungo vya Nje [hariri]