Eneo bunge la Gatundu Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Gatundu Kusini ni mojawapo ya Majimbo 290 ya Kenya. Jimbo hili ni moja kati ya majimbo saba ya Kaunti ya Murang'a.

Lina wodi nne zote zikiwemo chini ya Baraza la Kaunti.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi wa 1997. Awali lilikuwa sehemu ya jimbo kuu la Gatundu.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Mbunge wa sasa wa Jimbo la Gatundu Kusini ni Uhuru Kenyatta, Mwanasiasa maarufu wa Kenya na mwana wa Rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta.

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1997 Moses Mwihia SDP
2002 Uhuru Kenyatta KANU
2007 Uhuru Kenyatta KANU

Kata na Wodi[hariri | hariri chanzo]

Kata
Kata Idadi ya
Watu*
Kiamwangi 23,630
Kiganjo 28,502
Ndaragu 21,554
Ng'enda 46,562
Jumla x
*Hesabu ya 1999.
Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojisajili
Kiamwangi 11,333
Kiganjo 12,698
Ndaragu 9,459
Ng'enda 23,154
Jumla 56,644
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]