Jimbo la Uchaguzi la Gatundu Kaskazini
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Kenya |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Jimbo la Uchaguzi la Gatundu Kaskazini ni mojawapo ya Majimbo 210 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika mkoa wa Kati wa Kenya, na ni moja kati ya majimbo manne ya uchaguzi katika Wilaya ya Thika.
Lina wodi nne ambazo zote zinatawalwa na baraza la Thika County.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
JImbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi wa 1997 kutokana na kugawanwa kwa jimbo kuu la uxhaguzi la Gatundu.
Wabunge [hariri]
| Uchaguzi | Mbunge [1] | Chama | Vidokezo |
|---|---|---|---|
| 1997 | Patrick Kariuki Muiruri | SDP | |
| 2002 | Patrick Kariuki Muiruri | KANU | |
| 2007 | Clement Kungu Waibara | PICK |
Wodi [hariri]
| Wodi | |
| Wodi | Wapiga Kura waliojisajili |
|---|---|
| Chania | 11,959 |
| Githobokoni | 11,412 |
| Gituamba | 9,925 |
| Mangu | 12,407 |
| Jumla | 45,703 |
| *Septemba 2005 [2]. | |
Tazama Pia [hariri]
- Maeneo bunge ya Kenya
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 1997
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2002
- Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007
Virejeleo [hariri]
- ↑ Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007
- ↑ Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency