Eneo bunge la Gatundu Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Gatundu Kaskazini ni mojawapo ya Majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili ni moja kati ya majimbo kumi na mawili ya uchaguzi katika Kaunti ya Kiambu.

Lina wodi nne ambazo zote zinatawaliwa na baraza la Kaunti.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi wa 1997 kutokana na kugawanywa kwa jimbo kuu la uchaguzi la Gatundu.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1997 Patrick Kariuki Muiruri SDP
2002 Patrick Kariuki Muiruri KANU
2007 Clement Kungu Waibara PICK

Wodi[hariri | hariri chanzo]

Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojisajili
Chania 11,959
Githobokoni 11,412
Gituamba 9,925
Mangu 12,407
Jumla 45,703
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]