Jimbo la Tigray

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tigray, Ethiopia



ትግራይ ክልል
Jimbo la Tigray

Bendera
Mahali paትግራይ ክልል Jimbo la Tigray
Mahali paትግራይ ክልል
Jimbo la Tigray
Mahali pa Jimbo la Tigray katika Ethiopia.
Nchi Bendera ya Ethiopia Ethiopia
Mji mkuu Mek'ele
Eneo
 - Jumla 50,078 km²
Idadi ya wakazi (2001)
 - Wakazi kwa ujumla 4.334.996
Kilimo.

Jimbo la Tigray (pia: Tigre) ni jimbo la Ethiopia ya kaskazini na sehemu za nyanda za juu.

Makao makuu ni Mekelle.

Wakazi walio wengi hutumia lugha ya Kitigre au Kitigrinya. Idadi kubwa hufuata Ukristo wa Waorthodoksi wa mashariki, lakini kuna Waislamu pia.

Waziri Mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi alikuwa mwenyeji wa Tigray.

Mji muhimu wa kihistoria ni Aksum ambapo ni chanzo cha Ethiopia.

Mji wa Adowa upo Tigray vilevile. Mwaka 1896 uvamizi wa Italia ulishindikana katika mapigano ya Adowa.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Tigray kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.



 
Majimbo ya Ethiopia
Bandera ya Ethiopia
Addis Abeba | Afar | Amhara | Benishangul-Gumuz | Dire Dawa | Gambela | Harar | Oromia | Sidama | Somali | Mataifa ya Kusini | Tigray