Jimbo katoliki la Tanga
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo Katoliki la Tanga (kwa Kilatini Dioecesis Tangaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania.
Makao makuu yake ni katika mji wa Tanga na linahusiana na Jimbo kuu la Dar-es-Salaam.
Askofu wa jimbo ni Anthony Banzi
Yaliyomo |
Historia [hariri]
- 18 Aprili 1950: Kuanzishwa kama Apostolic Prefecture ya Tanga kutokana na Apostolic Vicariate ya Kilimanjaro
- 24 Februari 1958: Kufanywa dayosisi kamili.
Uongozi [hariri]
- Maaskofu wa Tanga (mapokeo ya Roma)
- Bishop Anthony Banzi (tangu 10 Juni 1994)
- Bishop Telesphore Mkude (18 Januari 1988 – 5 Aprili 1993)
- Bishop Maurus Gervase Komba (15 Desemba 1969 – 18 Januari 1988)
- Bishop Eugène Cornelius Arthurs, I.C. (24 Februari 1958 – 15 Desemba1969)
- Prefect Apostolic wa Tanga
- Bishop Eugène Cornelius Arthurs, I.C. (9 Juni 1950 – 24 Februari 1958)
Takwimu [hariri]
Eneo la jimbo ni km2 26,807, ambapo kati ya wakazi 1,650,000 (2004) kulikuwa na Wakatoliki 180,000 (10.9%).