Jimbo Kuu la Nairobi
Jimbo Kuu la Nairobi (kwa Kilatini Archidioecesis Nairobien(sis)) ni jimbo kuu la kanda ya Kanisa Katoliki ya Nairobi nchini Kenya.
Kanisa kuu la jimbo ni Basilika ndogo ya Familia Takatifu huko Nairobi.
Askofu mkuu ni kardinali John Njue. Askofu msaidizi wake ni David Kamau Ng'ang'a.
Yaliyomo |
Historia[hariri]
Kuanzishwa kwa Apostolic Prefecture ya Zanguebar kutokana na Jimbo Katoliki la Saint-Denis-de-La Réunion katika kisiwa cha Réunion
Kupandishwa cheo kuwa Apostolic Vicariate ya Zanguebar
- 1887:
Kubadilishwa jina kuwa Apostolic Vicariate ya Northern Zanguebar
Kubadilishwa jina kuwa Apostolic Vicariate ya Zanzibar
Kuanzishwa kwa jimbo kuu la Nairobi
Uongozi[hariri]
- Maaskofu wakuu
- John Joseph McCarthy, C.S.Sp. (25 Machi 1953 – 24 Oktoba 1971)
- Kardinali Maurice Michael Otunga (24 Oktoba 1971 – 14 Mei 1997)
- Raphael S. Ndingi Mwana’a Nzeki (21 Aprili 1997 - 2007)
- Kardinali John Njue (tangu 10 Juni 2007)
Majimbo yaliyo chini yake[hariri]
Takwimu[hariri]
Eneo la jimbo lina kilometa mraba 3,271, ambapo kati ya wakazi 4,020,100, Wakatoliki ni 1.228.100 (30.5%) katika parokia 90.
Wanahudumiwa na mapadri 478 (104 wanajimbo na 374 watawa), mbali ya mabruda 1,290 na masista 1,034.
Viungo vya nje[hariri]
- Giga-Catholic Information
- [Catholic Hierarchy
- Tovuti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Kenya
- Hati Quae catholicae, AAS 21 (1929), uk. 656
- Hati Quemadmodum ad Nos, AAS 45 (1953), uk. 705