Jimbo Kuu la Nairobi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Kuu la Nairobi (kwa Kilatini Archidioecesis Nairobien(sis)) ni jimbo kuu la kanda ya Kanisa Katoliki ya Nairobi nchini Kenya.

Kanisa kuu la jimbo ni Basilika ndogo ya Familia Takatifu huko Nairobi.

Askofu mkuu ni kardinali John Njue. Askofu msaidizi wake ni David Kamau Ng'ang'a.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Kuanzishwa kwa Apostolic Prefecture ya Zanguebar kutokana na Jimbo Katoliki la Saint-Denis-de-La Réunion katika kisiwa cha Réunion

Kupandishwa cheo kuwa Apostolic Vicariate ya Zanguebar

Kubadilishwa jina kuwa Apostolic Vicariate ya Northern Zanguebar

Kubadilishwa jina kuwa Apostolic Vicariate ya Zanzibar

Kuanzishwa kwa jimbo kuu la Nairobi

Uongozi[hariri | hariri chanzo]

Majimbo yaliyo chini yake[hariri | hariri chanzo]

Takwimu[hariri | hariri chanzo]

Eneo la jimbo lina kilometa mraba 3,271, ambapo kati ya wakazi 5,364,541, Wakatoliki ni 2,995,277 (55.8%) katika parokia 110.

Wanahudumiwa na mapadri 638 (178 wanajimbo na 460 watawa), mbali ya mabruda 1,329 na masista 1,792.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Kuu la Nairobi kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.