Jimbo Katoliki la Tunduru-Masasi
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo katoliki la Tunduru-Masasi (kwa Kilatini Dioecesis Tunduruensis-Masasiensis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Songea.
Askofu wake ni Castor Paul Msemwa.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
- 1986: Kuanzishwa kwa jimbo ya Tunduru-Masasi kutokana na jimbo ya Nachingwea
Uongozi [hariri]
- Maaskofu wa Tunduru-Masasi
- Castor Paul Msemwa (since 2005)
- Magnus Mwalunyungu (1992 – 2005)
- Polycarp Pengo (1986 – 1990)
Takwimu [hariri]
Eneo ni la kilometa mraba 22,730, ambapo kati ya wakazi 725,000 (2006) Wakatoliki ni 101,114 (13.9%).