Jimbo Katoliki la Sumbawanga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Katoliki la Sumbawanga (kwa Kilatini "Dioecesis Sumbavangensis") ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania, na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Kanisa kuu liko mjini Sumbawanga, katika mkoa wa Rukwa.

Lilianzishwa tarehe 10 Mei 1946 na linahusiana na Jimbo Kuu la Mbeya.

Askofu wa sasa ni Beatus Christian Urassa, ALCP/OSS.

Takwimu[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake lote ni kama kilometa mraba 28.654, ambamo wamo wakazi 1,244,330. Kati yao Wakatoliki ni 757,451 (2014) yaani asilimia 60.9.

Waamini hawa wanahudumiwa na mapadri 48, ambao kati yao 42 ni wanajimbo na 6 watawa. Hivyo kwa wastani kila mmojawao anahudumia waamini 15,780.

Parokia ziko 24.

Jimbo lina mabruda 61 na masista 320.

Mlolongo wa maaskofu[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Katoliki la Sumbawanga kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.