Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo katoliki la Rulenge-Ngara (kwa Kilatini Dioecesis Rulengensis-Ngaraensis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Mwanza.
Askofu wake ni Severine Niwemugizi.
Yaliyomo |
Historia[hariri]
- 1929: Kuanzishwa kwa Apostolic Vicariate ya Rulenge-Ngara kutokana na Apostolic Vicariate ya Tabora
- 25 Machi 1953: Kufanywa dayosisi
Uongozi[hariri]
- Maaskofu wa Rulenge-Ngara
- Severine Niwemugizi (since 1996)
- Christopher Mwoleka (1969 – 1996)
- Alfred Lanctôt MAfr (1953 – 1969)
- Vicar Apostolic wa Rulenge-Ngara
- Alfred Lanctôt MAfr (1951 – 1953)
- Laurent Tétrault MAfr (1947 – 1951)
- Burkhard Huwiler MAfr (1929 – 1946)
Takwimu[hariri]
Eneo ni la kilometa mraba 13,004, ambapo kati ya wakazi 767,359 (2006) Wakatoliki ni 344,054 (44.8%).