Jimbo Katoliki la Njombe
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo katoliki la Njombe (kwa Kilatini Dioecesis Niombenus) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Songea.
Askofu wake ni Alfred Leonhard Maluma.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Uongozi [hariri]
- Maaskofu wa Njombe
- Alfred Leonhard Maluma (since 2002)
- Raymond Mwanyika (1971 – 2002)
Takwimu [hariri]
Eneo ni la kilometa mraba 20,860, ambapo kati ya wakazi 717,000 (2006) Wakatoliki ni 294,100 (41.0%).