Jimbo Katoliki la Mbinga
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo katoliki la Mbinga (kwa Kilatini Dioecesis Mbingaensis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Songea.
Askofu wake ni John Chrisostom Ndimbo.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Uongozi [hariri]
- Maaskofu wa Mbinga
- Evaristo Marc Chengula (since 2011)
- Emmanuel Mapunda (1986 – 2011)
Takwimu [hariri]
Eneo ni la kilometa mraba 11,400, ambapo kati ya wakazi 524,945 (2006) Wakatoliki ni 392,871 (74.8%).