Jimbo Katoliki la Lindi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Jimbo Katoliki la Lindi (kwa Kilatini "Dioecesis Lindiensis") ni jimbo la Kanisa Katoliki lenye makao makuu mjini Lindi katika kanda ya Songea upande wa kusini nchi Tanzania.

Kama majimbo yote 34 ya nchi hiyo, linafuata mapokeo ya Roma.

Eneo la jimbo lina kilometa mraba 56,060, ambapo wanaishi wakazi 791.306 (2004), wengi wao wakiwa Waislamu. Kati yao Wakatoliki ni 128.438, sawa na asilimia 16.2, nao wanaunda parokia 26.

Askofu wa jimbo ni Bruno Pius Ngonyani. Mapadri ni 51, ambao kati yao 48 ni wanajimbo na 3 watawa. Kwa wastani kila padri anahudumia waamini 2,518.

Mabruda ni 4 na masista 58.

Mlolongo wa Maaskofu[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Katoliki la Lindi kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.