Jimbo Katoliki la Geita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Jimbo katoliki la Geita (kwa Kilatini Dioecesis Geitaensis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Kikanisa linahusiana na Jimbo Kuu la Mwanza.

Askofu wake ni Damian Dalu.

Yaliyomo

Historia[hariri]

  • 1984: Kuanzishwa kwa Jimbo katoliki la Geita kutokana na jimbo ya Mwanza

Uongozi[hariri]

  • Maaskofu wa Geita

Takwimu[hariri]

Eneo ni la kilometa mraba 41,311, ambapo kati ya wakazi 1,908,000 (2006) Wakatoliki ni 398,000 (20.9%).

Viungo vya nje[hariri]