Jeshi la Wananchi wa Tanzania
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ni jeshi lililoanzishwa mnamo mwezi wa Septemba katika mwaka wa 1964. Tangu kuanzishwa kwake, iliwekwa sana kwenye vikosi vilivyokuwa vikishikiliwa na nguvu ya raia tu. Daima walikuwa wakikumbushwa tofauti zao baina yao na majeshi ya wa wakoloni. JWTZ walipewa dhamira yao ipasavyo: kuilinda Tanzania na kila kitu cha Mtanzania, hasa watu na itikadi yao ya kisiasa. Mabaharia wa JWTZ, marubani na maofisa walifunzwa huko Uchinani.
[hariri] Historia ya awali
Kuanzishwa kwa JWTZ kumepelekea kuvunjwa kwa Tanganyika Rifles baada ya uasi mnamo mwaka wa 1964. Kikosi cha jeshi kiliasi mnamo mwezi wa Januari katika mwaka wa 1964. Uasi ulianza kwenye makazi ya jeshi ya Colito huko mjini Dar es Salaam, halafu baadaye kusambaa kwenye makazi ya jeshi ya Kalewa huko mjini Tabora na Nachingwea, baadaye kujenga majengo mapya na suti zikafuata. Uasi ulikuwa ukilipwa kwa kiasi cha juu sana, kupandishwa vyeo, kuondosha maofisa wa Kiingereza na wale Waliolewea-Afrika. Mwalimu Julius Nyerere amekubali kwamba "wanajeshi walinyanyasika hasa na madai yao yaliyoletwa ni ya msingi." Hata hivyo, hakuweza kuvumilia uasi. Uasi ulizua maswali mengi kuhusu eneo la kijeshi katika uhuru mpya wa Tanganyika — jeshi chini ya amri za kigeni na wala haijumuishi kwenye mfumo wa nchi. Baa ya uasi, jeshi lilivunjwa na kuanza kuandikisha jeshi jipya ndani ya TANU (TANU).
[hariri] Marejeo
- Civil-Military Relations in Post-Independent Africa
- Tanzania Refutes Cross Border Shelling
- (2006) "World Air Forces", in Murdo Morrison): Flight International, Number 5063, London: Flight Global, 82. ISBN 9-770015-371174-47.
- Brian S. MacDonald (1990). "Africa armed forces", Military spending in developing countries, Number 5063. ISBN 9-780886-2931-47.
[hariri] Viungo vya Nje
- Official Website Tanzania People's Defence Forces
- Tanzania Civil-military Relations and Political Stability
- Lillian Kingazi, Enhancing Human Resource Capabilities in the TPDF
| Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jeshi la Wananchi wa Tanzania kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |