Jeddah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Mji wa Jeddah
Faili:Jedfoun.jpg
world's highest fountain


Jeddah (kar.: جدّة jiddah huandikwa pia Jedda, Jiddah, Jidda) ni mji mkubwa wa pili nchini Saudia na bandari kwenye mwambao wa Bahari ya Shamu (21.50° N 39.1667° E).

Kuna wakazi milioni 3.4.

Jeddah ni kitovu cha uchumi na biashara cha Saudia.

Waislamu wengi hupita humo wakati wa hajj wakitumia uwanja wa ndege wa Jeddah kwenda kuhiji Makka na Madina.

Miji wenzake[hariri | hariri chanzo]

Mji wa Jeddah una miji wenzake 23 (kwa Kiingereza "twin towns"):

Gallery[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.