Jiografia ya Palestina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jamii:Jiogafia ya Palestina)
Palestina kutoka angani, mwaka 2003.

Palestina ni nchi ya pekee upande wa jiografia, hasa upande wa mashariki, katika Bonde la Ufa unapotiririka mto Yordani hadi Bahari ya Chumvi.

Mipaka ya Palestina imebadilikabadilika katika historia.

Katika karne ya 5 KK Herodotus alipotaja Palaestina alifanya hivyo kwa maana tofauti kadiri ya mukhtada.[1]

Wapalestina wa leo wanataka mipaka yao iwe ile ya eneo lindwa lililokuwa chini ya Waingereza, yaani bila ya nchi ya Yordan, ng'ambo ya mto huo.[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Herodotus, The Histories Bk 7.89
  2. Ibrahim Abu-Lughod, "Territorially-based Nationalism and the Politics of Negation", p. 199. In Said and Hitchens, 2001.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jiografia ya Palestina kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.